Job 38:8-11


8 a“Ni nani aliyeifungia bahari milango
ilipopasuka kutoka tumbo,
9 bnilipoyafanya mawingu kuwa vazi lake,
na kuyafungia katika giza nene,
10 cnilipoamuru mipaka yake,
na kuiweka milango yake na makomeo mahali pake,
11 dniliposema, ‘Unaweza kufika mpaka hapa wala si zaidi;
hapa ndipo mawimbi yako yenye kiburi yatakapokomea’?
Copyright information for SwhNEN